Вступление
(Swahili)
[Verse 1]
G C G
Mwamba Wenye Imara
D G
Kwako nitajificha
D G
Maji hayo na damu
D G
Yaliyotoka humu
C G
Hunisafi na Dhambi
D G
Hunifanya mshindi
[Verse 2]
G C G
Kwa kazi zote pia
D G
Sitimizi sheria
D G
Nijapofanya bidi
D G
Nikilia na kudhii
C G
Hayaishi makosa
D G
Ndiwe wa kuokoa
[Verse 3]
G C G
Sina cha mkononi
D G
Naja msalabani
D G
Nili tupu nivike,
D G
Ni mnyonge, nishike
C G
Nili mchafu naja
D G
Nioshe nisijafa
[Verse 4]
G C G
Nikungojapo chini
D G
Na Kwenda kaburini
D G
Nipaapo mbinguni
D G
Na kukwona enzini
C G
Roho yangu na iwe
D G
Rahani mwako wewe